UONGOZI WA CCM-TAIFA

UONGOZI WA CCM-TAIFA

Wednesday, June 11, 2014

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. MUHONGO APOKELEWA UBALOZINI DC

Waziri wa Nishati na Madini Prof. Muhongo akiwa kwenye picha ya pamoja na Mh Liberata Mulamula, Balozi wa Tanzania chini Marekana na Mexico baada ya kupokelewa ndani ya ofisi za ubalozi wa Tanzania huko Washington D.C.
Mh Muhongo yupo Marekani kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa Afrika kuhusu nishati kwa wote.
CCM Tawi la Texas, tunamtakia makazi mema Mh Waziri na kumuomba siku nyingine afike kwenye Jimbo la Nishati la Texas hasa Jiji la Nishati la Houston.
Karibu sana Mh Waziri Marekani

No comments:

Post a Comment