Mh. Said Mtanda, Mbunge wa Jimbo Mchinga kupitia CCM katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mh Mtanda ni mmoja kati ya wabunge vijana walioingia bungeni kwa mara ya kwanza katika uchaguzi wa mwaka 2010. Vilevile, Mh Mtanda ni Mbunge wa bunge la Afrika.
Tutamtafuta, siku za hivi karibuni tufanye nae mahojiano juu ya utekelezaji wa ilani ya CCM katika Jimbo la Mchinga.

No comments:
Post a Comment