UONGOZI WA CCM-TAIFA

UONGOZI WA CCM-TAIFA

Tuesday, May 27, 2014

VIONGOZI WA CCM HUJENGWA HAWAOKOTWI BARABARANI

Mwenyekiti Mstaafu wa Umoja wa Wanawake wa CCM na Mbunge wa Viti Maalum Mama Anna Abdallah akimfunda Mh Angela Kairuki Naibu Waziri wa Sheria na Mbunge wa Viti Maalum wa Mkoa Wa Dar es Salaam. Mheshimiwa Angela ni moja ya matunda ya kazi nzuri ya UWT.

No comments:

Post a Comment